WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZA NA BALOZI WA SWITZERLAND NCHINI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January
Makamba (Mb.) amekutana na kuzungumza na Balozi wa Switzerland nchini Mhe.
Didier Ch...
35 minutes ago
Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.