Baadhi ya wananchi wakiwa tayari kujaza fomu za maoni ya Rasimu ya Katiba Mpya katika viwanja vvya K-ndege ambapo Dr. Slaa anatarajiwa kuhutubia wananchi mchana wa leo.Mwenye Skafu ya Chadema ni Mwenyekiti wa Chadema Kata ya Kichangani
Mwasisi wa Blog hii. Kaka Amani Mwaipaja akitoa maoni yake kwenye fomu maalum ya kutolea maoni katika viwanja vya shule ya msingi K-Ndege 
Mwanasheria Amani Mwaipaja (Mwenye Miwani) akiwa na Mwanasheria Msomi Bathromew Tarimo (Wakili kwenye kesi ya Sheikh Ponda) katika Viwanja vya Mkutano
Mwasisi wa Blog hii Amani Mwaipaja (Mwenye Miwani) akiwa na Katibu Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Morogoro Mjini wakiwa katika picha ya pamoja kwenye viwanja vya Mkutano

photo

0 Responses so far.