Mrembo alieshikilia taji la Redd's Miss Arusha Glory Stephen  akipungia watu waliokuwemo katika kinyanganyiro hicho mara baada ya kutangazwa mshindi na nafasi ya pili ikiwa imeshikiliwa na Nance Mushi.
 Muaandaaji wa Redd's Miss kanda ya kaskazini Faustine Mwandago, akiwapongeza warembo walioshinda kinyanganyiro cha Arusha na kuwaahidi wote walioingia tano bora ,atawapa nafasi ya kushiriki katika kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini.
Kulia ni mmoja wa waratibu wa shindano la REDD'S MISS ARUSHA 2013, Bi. Phide Mwakitalima pamoja na rafiki zake wakishuhudia mchuano wa warembo wa jiji la Arusha.
 mgeni Rasmi wa sherehe za kumsaka mlibwende wa Arusha (Redd's Miss Arusha)John  Mongela  katikati afisa utamaduni wa jiji la Arusha akifuatia wa kwanza  kulia ni muaandaaji wa Redd's Miss kanda ya kaskazini Mwandago. Picha kwa hisani ya Wazalendo 25 Blog

photo ,

0 Responses so far.