Mwenyekiti
wa Chadema, Mh freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema
wakiwa katika uwanja wa Soweto, wakati wa zoezi la kuchukua
vipimo mbalimbali chini ya usimamizi wa wataalamu toka
Jeshini. Mhe.Mbowe na Mhe. Lema wakishauriana jambo.. Eneo
la maafa. Inaelezwa kuwa wataalamu wa jeshi waligundua kuwako kwa kitu
ndani ya tanki la mafuta na hivyo kuamua kulikata. Taarifa hizo zinadai
kwamba kulikuwa na mabomu yametegwa chini ya gari na hivyo tank hilo
lilishamabuliwa kwa risasi labda utokee mlipuko! Pia gari la matangazo
lina majeraha mawili katika mlango wa kushoto yaliyotokana na kitu
chenye ncha ambacho kinaweza kuwa risasi au vipande vya vyuma vya bomu.
Gari ambalo linasadikiwa kutegwa bomu katika tanki la Mafuta.
Mh. Mbowe akiwa nyumbani kwa wazazi wa mmoja wa marehemu (Ramadhani) eneo la Mianzini kuwapa pole kwa kuondokewa na mpendwa wao. James Ole Millya na Mbunge Lema wakimjulia hali mmoja wa majeruhi walilazwa katika hospitali ya Seliani Jijini, Arusha. Mtoto Sharifa nae amelazwa hospitalini hapo kwa majeraha ya mlipuko katika hospitali ya Seliani Jijini, Arusha. Dereva wa mgombea wa Chadema Kata ya Themi, Bw beni akiwa majeruhi kitandani,katika hospitali ya Seliani Jijini, Arusha.Habari hii kwa hisani ya Wazalendo 25 Blog
JUMIA YATOA SAMSUNG S9 NA S9+ KWA WATEJA WAKE
-
Mkurugenzi Mkuu wa Jumia Tanzania, Bw. Zadok Prescott , akimkabidhi simu ya
Samsung Galaxy S9, mteja Happiness Keto aliyoinunua simu hiyo kwa shilingi
5...
0 Responses so far.
Post a Comment