Basi la kampuni ya ABOOD BUS likiwa limepinduka katika eneo la mkambarani siku ya jumatano alfajili ya saa kumi na
moja na kujeruhi watu na kukimbizwa hospitali ya mkoa wa Morogoro, hakuna
mtu aliepoteza maisha katika ajali hiyo.
MAREKANI YAPUNGUZA VITUO VYA VISA AFRIKA.
-
* Serikali ya Marekani imepanga kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa
utoaji visa barani Afrika kwa kupunguza idadi ya balozi na ofisi za ubalozi ...
JUMIA YATOA SAMSUNG S9 NA S9+ KWA WATEJA WAKE
-
Mkurugenzi Mkuu wa Jumia Tanzania, Bw. Zadok Prescott , akimkabidhi simu ya
Samsung Galaxy S9, mteja Happiness Keto aliyoinunua simu hiyo kwa shilingi
5...
0 Responses so far.
Post a Comment