Basi la kampuni ya ABOOD BUS likiwa limepinduka katika eneo la mkambarani siku ya jumatano alfajili ya saa kumi na
moja na kujeruhi watu na kukimbizwa hospitali ya mkoa wa Morogoro, hakuna
mtu aliepoteza maisha katika ajali hiyo.
Meridianbet Kumwaga Pesa Jumamosi Ya Leo
-
KAMA kawaida ni Jumamosi ya kwanza ya mwezi April ambapo inakuja na nafasi
ya wewe kuchukua mkwanja wa maana. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000
yapo...
YAKUSANYA TRILIONI 7.53 JANUARI HADI MACHI 2025
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53
katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ufanis...
RAIS SAMIA AZINDUA MAJENGO YA MAHAKAMA KUU DODOMA
-
*Taswira ya Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tume ya Utumishi
wa Mahakama pamoja na Makazi ya Majaji ambayo yamezinduliwa na Rais wa
Jamhu...
JUMIA YATOA SAMSUNG S9 NA S9+ KWA WATEJA WAKE
-
Mkurugenzi Mkuu wa Jumia Tanzania, Bw. Zadok Prescott , akimkabidhi simu ya
Samsung Galaxy S9, mteja Happiness Keto aliyoinunua simu hiyo kwa shilingi
5...
0 Responses so far.
Post a Comment