Baada ya mh.waziri mkuu mizengo pinda kutoa ruhusa kwa polisi kupiga wananchi..Mh mbunge zitto kabwe nae atoa lake juu ya mh.waziri mkuu...Kupitia tweet yake Zitto alisema "Viongozi wa kisiasa lazima wajue kuweka akiba ya maneno yao ,kuropoka hovyo hovyo wakati kama huu wenye taharuki ni hatari sana"..Aliongezea "Ni lazima viongozi wawajibishwe kwa maneno wanayotamka.Mh. Pinda anahamasisha ukiukwaji wa katiba na sheria Asipowajibishwa.!"

photo

0 Responses so far.