MAELEZO YA MASHUHUDA
  • Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo.
  • Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani.
  • kijana mdogo kabisa ameuwawa. Ana tundu sehemu ya kifuani kushoto. Kwenye moyo. Inadhaniwa ni risasi. Hospitalini Mount Meru wanasema wamempokea akiwa amekufa tayari.
    • Kijana mwingine mdogo amejeruhiwa sana kichwani, kiasi kwamba ubongo unatoka yuko Mount Meru. Watu walioumia ni wengi sana sana. Mwenyekiti Mbowe amekwenda Selian Hospitali na Mount Meru Hospital na sasa pamoja na Lema wako eneo la tukio.

photo

0 Responses so far.