Michezo : New King Imeichapa Malindi Bao 2-1
-
Mchezaji wa Timu ya Malindi akimiliki mpira akijiandaa kumpita beki wa Timu
ya New King, katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2-25 /2026 mchezo
uliyo...
1 hour ago

Kujishika tama huku ni kwa kutoka moyoni ama ni kutokana na shinikizo mara nyingi binadamu tunajuta baada ya kutenda na si kujuta kabla ya kutenda,Ila nashukuru tu kwamba jamaa ameonesha mfano kwa kukubali kauchia ngazi kutoakana na kashifa,Viongozi wangapi leo wanakubali kufanya hivi wanataka tu waendelee kurudisha nyuma maendeleo kwa kujinufaisha wenyewe na kufanya ufuska
inaonekana hapo mzee alikuwa kwenye bahari ya mawazo...kuutema urais wakati bado unaupenda sio kazi rahisi
big maduhu kwa kujiunga na kijiji hiki