Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
WAZIRI MKUU AFUNGA MAONESHO YA NISHATI 2024
-
*Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,
Dkt. Doto Biteko wakipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Mradi wa Gesi Asilia
wa K...
2 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani