Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MRADI WA MAJI WA BUTIMBA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizindua mradi wa maji Butimba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025. mradi
huu wa...
3 minutes ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani