Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
Taifa Mizengo Pinda amehimiza viongozi waliopewa dhamana...
8 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani