Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na
Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mh...
2 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment