Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MRADI WA MAJI WA BUTIMBA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizindua mradi wa maji Butimba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025. mradi
huu wa...
16 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment