RAIS NA AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA ATETA NA WAKUU WA KAMANDI,MATAWI NA
MAKAMANDA WA JWTZ MKOANI TANGA.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na
Makama...
31 minutes ago

Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.