TAIFA WA DHARURA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NINO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Serikali kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,
Bunge na Uratibu inaendelea kuratibu utekelezaji wa M...
49 minutes ago
Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.