SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na
Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mh...
2 hours ago
Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.