Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa


2 Responses so far.

  1. Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.

  2. Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!