Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa
BALILE ,MACHUMU WAREJEA TENA KWA KISHINDO JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songea
JUKWAA la Wahariri Tanzania(TEF) limemchagua Deodatus Balile kuwa
Mwenyekiti wa jukwaa hilo huku Bakari Machumu akichag...
1 minute ago
Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.
Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!