Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
30 minutes ago

Mimi nilitaka nimuone mwili mzima.
WEWE ULITAKA UONE MWILI MZIMA MPAKA WAPI MZEE?HAPO TU UTAMU WOTE UNAONEKA....HII KWELI HAIKUBALIKI...BIG UP MWAIPAJA KWA KUANZISHA MIJADALA KAMA HII....
NIAMINI KWELI MITANDAO INASAIDIA KUFICHUA MAOVU....WABONGO MLIIPATA HII?HAYA NDIYO MAMBO YA DUNIANI...UKISTAAJABU YA MUSA.....
Uyu dada kama kichaa vile mbona wenzie sio ivyo jamani?Au ameshauguaga ukichaaaaaaaa?Nisaidieni na muwe na uwakika.Ni hayo tu.
Acha ushamba wewe yaani hiyo nusu tu unawaka je ingekuwamwili mzima ungesemaje?yaani hata kama una picha ya raisi mstaafu kapiga hivyo ibandike tu kaka kila mtu ana mwili wake wala usiogope
Acheni ujinga nyie kaka zetu! Tatizo la hiyo picha ninini? Shame on you guys!!