Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
MWENGE WA UHURU WAMULIKA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST NA KUONGEZA UELEWA
-
Meneja wa Kanda ya Pwani , Vicky Mollel akipokea Mwenge wa Uhuru wakati wa
mapokezi ya Mwenge Jijini Dar Es Salaam. Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika
W...
9 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment