Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA NAFASI ZA KAZI ZA WATENDAJI WA
UCHAGUZI TANZANIA ZANZIBAR
-
*Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza nafasi za kazi za mratibu wa
uchaguzi, msimamizi wa uchaguzi na msimamizi msaidizi wa uchuguzi ngazi ya
jimbo w...
9 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment