Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
TANZANIA KUANDAA JUKWAA LA KWANZA LA KITAIFA KUHUSU AKILI BANDIA (AI)
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
TANZANIA inajiandaa kuwa mwenyeji wa jukwaa la kwanza la kitaifa kuhusu
matumizi ya akili bandia (AI), litakalofanyika Jula...
7 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment