Wanafunzi wakiwa wamejipanga tayari kwa kuupokea mwili wa marehemu Tenga ...waliovaa jezi ni baadhi ya wachezaji wenzie wa mpira wa miguu enzi za uhai wake.
Gari la polisi lililobeba mwili wa marehemu likionekana kwa mbali likiingia katika viwanja vya chuo kikuu Mzumbe Mbeya - kampas
Mwili wa marehemu ukiingizwa chuoni na kikosi maalum cha ubebaji kilichoteuliwa kwa ajili ya kazi hiyo.
Wabebaji
Mwili ukishushwa na kuwekwa katika meza maalum
RAIS SAMIA APIGA KURA DODOMA
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
Mhe...
3 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment