Wanafunzi wakiwa wamejipanga tayari kwa kuupokea mwili wa marehemu Tenga ...waliovaa jezi ni baadhi ya wachezaji wenzie wa mpira wa miguu enzi za uhai wake.
Gari la polisi lililobeba mwili wa marehemu likionekana kwa mbali likiingia katika viwanja vya chuo kikuu Mzumbe Mbeya - kampas
Mwili wa marehemu ukiingizwa chuoni na kikosi maalum cha ubebaji kilichoteuliwa kwa ajili ya kazi hiyo.
Wabebaji
Mwili ukishushwa na kuwekwa katika meza maalum
TANZANIA KUANDAA JUKWAA LA KWANZA LA KITAIFA KUHUSU AKILI BANDIA (AI)
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
TANZANIA inajiandaa kuwa mwenyeji wa jukwaa la kwanza la kitaifa kuhusu
matumizi ya akili bandia (AI), litakalofanyika Jula...
15 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment