Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
Taulo za Kike Kutoka Meridianbet Zageuka Tiketi ya Ndoto na Mafanikio
-
MERIDIANBET, kupitia programu yake ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR),
imeendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya biashara yana maana zaidi
yanapoweza kugu...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment