Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na
Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mh...
2 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment