Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
Serikali Yawahakikishia Usalama Watanzania Walioko Israel na Iran
-
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewahakikishia wananchi kuwa
Watanzania walioko nchini Israel na Iran wako salama, licha ya hali tete ya
...
3 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment