Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
Timu ya madaktari bingwa wa Dkt.Samia waanza kutoa huduma za kibingwa
mkoani Njombe
-
Timu ya madaktari bingwa 30 waliowasili mkoani Njombe wameanza kutoa huduma
katika hospitali za wilaya zote mkoani humo huku wito ukitolewa kwa
wananchi ku...
9 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment