Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
WAZIRI MCHENGERWA ATOA MIAKA MITATU OCEAN ROAD, WAGONJWA WA SARATANI
KUTIBIWA NCHINI
-
Na WAF, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameipa Bodi ya Taasisi ya Saratani
ya Ocean Road (ORCI) muda wa miaka mitatu kuhakikisha h...
35 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment