Mwanamuziki Jose kamilion kutoka Uganda nae alishiriki katika tamasha kubwa la muziki linaloshirikisha wanamuziki kutoka sehemu mbalimbali duniani alikuwepo katika usiku wa sauti za busara huko Zanzibar...jamaa yupo mbioni kutoa albamu zake mbili na baada ya hapo anategemea kujiingiza katika fani ya uigizaji wa filamu.




Mwanadada Chiwoniso kutoka nchini Zimbabwe akifanya vitu vyake katika tamasha la SAUTI ZA BUSARA huko ngome Kongwe (stone town)


Mfalme wa Hip Hop kutoka Rock City- Mwanza Falid Kubanda (Fid q) nae alikuwepo.

photo

1 Response so far.

  1. Yes man Fid.. Am looking forward to meet you so that we can fuse some skillz t deliver what peoples want.. ho soon mate.. keep on spiting fire selaa.. Bida from TheMandelazClick.. www.myspace.com/themandelazclick

    pa1 man

    bida