Kutoka kushoto:Uhuru Kenyatta na William Ruto wakiteta Jambo katika kampeni zao za mwisho za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.
Uhuru Kenyatta(gari la bluu)  na William Ruto (gari jekundu) wakiwa katika magari ya wazi katika kampeni zao za mwisho za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.


Uhuru Kenyatta na William Ruto wakitaka kuyarudi mangoma katika kampeni zao za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.
William Ruto akiteta Jambo katika kampeni za mwisho za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.
Huu ni UMATI wa watu waliokuja kuhudhuria kampeni za JUBILEE katika mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay ,uchaguzi utakafanyika jumatatu tarehe 4/3/2013
Mwana dada akifurahia kampeni za upande wa JUBILEE ,akiwa amevaliwa vazi lenye jina la chama cha TNA ambacho Uhuru Kenyatta ndie anakiwania nacho urais wa Kenya Jumatatu Ijayo. Kwa hisani ya Wazalendo 25 Blog

photo

0 Responses so far.