Mwanvita Makamba, akiwa katika chumba alicholazwa Mhariri Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri wakati alipomtembelea kumjulia hali katika Hospitali ya Milpark baada ya kufikishwa katika hospitali hiyo jana usiku nchini Afrika ya Kusini.

photo

0 Responses so far.