Mbunge mtarajiwa wa Morogoro mjini kupitia CHADEMA Bw. Amani Theophilus Mwaipaja ,anatarajia kuzindua KITABU chake tarehe 30/03/2013 mjini Morogoro,ambamo ndani yake kitakuwa mahususi kwa ajili ya SHUKRANI kwa wapenda maendeleo wote na wanaharati wote wa ukombozi wa wanyonge na  pia waliokuwa nae bega kwa bega katika uchaguzi uliopita. Katika uzinduzi huo anatarajia kuzindua na blog yake na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa ni Kiongozi wa kitaifa wa CHADEMA. Kama unahitaji KITABU hicho ufanye mawasiliano mapema kwa simu: 0787 070 707 na 0714 559 910.

photo

0 Responses so far.