Hii ndio hali halisi ya Hospitali ya mkoa wa Morogoro. Wagonjwa wanalazwa sakafuni, Stand za Drip hakuna, wauguzi hawana gloves za kuvaa mikononi. Huu ni ujumbe kwa mbunge wa Morogoro Mjini bwana Abdul Aziz Abood ambaye kwa muda mrefu sasa amekuwa akitoa misaada ya magari ya kuzikia pindi watu wanapofariki badala ya kuangalia njia nyingine mbadala ya kusaidia jamiihasa katika huduma za afya.

Msaada wa magari ya kuzikia watu waliokufa si sehemu ya huduma ya afya

photo

0 Responses so far.