Wadau wakubwa wa blog hii, Advocate Berius Nyasebwa-Kushoto na Advocate Tundu Lisu ambaye pia ni Mbunge wa Singinda (Chadema) na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni wakiwa katika picha ya pamoja.Taifa letu bado linahitaji vijana mawakili na wanasheria wa kutosha watakaoweza kusaidia jamii kubwa ya kitanzania ambayo kwa sehemu kubwa haifahamu haki na sheria mbalimbali zinazowalinda katika maisha yao ya kila siku.


Advocate Berious Nyasebwa akiwa katika pozi mara baada ya kuukwaa uwakili.

photo

0 Responses so far.