Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akitoa hoja yake wakati kamati hiyo ilipokutana na Shirika la Nyumba nchini (NHC) jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Mbunge wa viti Maalum (CHADEMA) Suzan Kiwanga. Picha na Rafael Lubava

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imesema itawafikisha kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiwatuhumu kwa kulidanganya Bunge

photo

0 Responses so far.