Siku chache baada ya Mwaipaja Blog kutundika picha za Msanii Manaika Sanga, Jeshi la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko wakiwemo mamiss maarufu na baadae kusambaza kwenye mitandao yote ya kijamii pamoja na kuripotiwa kwenye magazeti mbalimbali
 
Blog ya Mwaipaja imefanikiwa  kuzinasa  picha  za  Manaiki  akiwa chini ya ulinzi kama inavyonekana hapa chini
Habari za uhakika zilizonaswa  zinasema kuwa msanii huyo alikamatwa siku chache baada kuvuja kwa picha zake za aibu zikimuonesha akiwa na wanawake tofauti tofauti

photo

0 Responses so far.