Moto mkubwa umelipuka usiku wa kuamkia leo katika mitambo ya kuzalishia umeme ya Songas iliyopo Ubungo jiji ni Dar es Salaam.
Moto huo umesababisha mitambo hiyo kuzimwa na kusababisha Eneo Kubwa la mkoa aw Dar na maeneo ya jirani kukosa huduma ya umeme.

photo

0 Responses so far.