Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
Ulega Ahamasisha Wananchi Tambani Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29
-
*MKURANGA, Pwani* – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Kijiji cha Tambani
ku...
1 hour ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani