Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
WAZIRI MKUU AWATAKA WAKANDARASI MIRADI YA UMWAGILIAJI KUZINGATIA UBORA
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wakandarasi wazawa waliopewa
dhamana ya ujenzi wa Miradi ya umwagiliji kuhakikisha waaitekelza kwa
weledi na ubor...
7 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani